Jumatano, Aprili 16, 2014

ZIARA YA CHAMA CHA WANAUME KANISANI (AMMO)

Chama cha wanaume (AMMO) cha kanisa la  Waadventista wa Sabato Mpanda mjini  kinatarajia kufanya ziara katika Hospitali ya wilaya ya Mpanda. Lengo la ziara hiyo  ni kuwajulia hali, kuwafariji,pamoja na kutoa msaada  mbalimbali  kwa  wagonjwa. Wataambatana na waandishi wa habari  wa  idara ya mawasiliano katika  kanisa hilo kwa lengo la kuchukua taarifa mbalimbali juu ya  tukio  hili  muhimu la  Uinjilisti. Ziara hiyo itafanyika mwishoni  mwa  mwezi  huu wa nne 2014.

Maoni 2 :

Bila jina alisema ...

MUNGU awasaidie mnapojiandaa kutoa huduma kwa jamii

Bila jina alisema ...

Muwe na moyo huo huo!!!!!!!!!!!!!!

MPANDA SDA CHURCH