Jumapili, Juni 22, 2014

MKUTANO MKUBWA WA INJILI....MPANDA YOTE KWA YESU!!!!!

Kanisa la Waadventista wa Sabato mpanda mjini linapenda kuwatangazia wakazi wote wa mji wa mpanda kuwa
kutakuwa na mkutano mkubwa wa injili ambao umeanza tayari sikubya jumapili tarehe 22/06/2014 utakuwa ni mkutano wa siku 21.wahubiri wa mkutano huo ni mwinjilist ZAKARIA LEONARD, JEREMIAH KARAANGI NA HELLEN KAULULE. ni kuanzia saa 9:30 alasiri.

Hakuna maoni:

MPANDA SDA CHURCH