Jumatano, Aprili 23, 2014

JUMA LA MAOMBI LA IDARA YA UCHAPAJI LINAENDELEA

Juma la maombi  idara ya Uchapaji kanisa la Waadventista wa Sabato  Mpanda  mjini

linaendelea  vizuri.



Somo  la  juma  la  maombi  la  idara  ya  Uchapaji  katika  kanisa  la  Mpanda  mjini

linaendelea  vizuri. Ni  somo  lililosheheni  visa  mbalimbali  vya  kusisimua  linaloendeshwa  na  

Mwinjilisti  ambaye  pia  ni  Master  Guide JOHN  MAWELA. Naamini  kwa  wale  wanaohudhuria  

katika  juma  hili  la  maombi  wanabarikiwa  sana.  Juma  hili  la  maombi  litahitimishwa  jumamosi  hii  tarehe 26/04/2014.  

Hakuna maoni:

MPANDA SDA CHURCH