Morning star Tv, yamemalizika kwa kishindo katika kanisa la Waadventista wa Sabato Mpanda mjini mkoani Katavi. Mahubiri hayo
a kilele cha mahubiri hayo, watu 13 wamemkiri Yesu kwa njia ya ubatizo
Mchungaji wa mtaa wa Mpanda Pr.AMOS YARAGWILLA akibatiza watu waliojitoa wakati wa mahubiri ya Satellite |
Ubatizo huu ulifanyikia katika kisima cha ubatizo kilicho katika viwanja vya kanisa la Waadventista wa Sabato Mpanda mjini. Muda mfupi kabla ya ubatizo kisima kilionekana kujaa maji hadi juu na ikalazimika kupunguza maji hayo.
Kisima kikiwa kimejaa maji
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni