Alhamisi, Januari 29, 2015

WATU 9 WAYATOA MAISHA YAO KWA YESU KATIKA MAHUBIRI YA SATELLITE

Katika mahubiri haya yanayoendelea ya "THAWABU YA UADILIFU" Tayari  Watu 9 Wameyatoa maisha yao kwaYesu katika mahubiri yanayoendelea.Katika mikutano hii inayoendelea katika kanisa la

Waadventista wa Sabato Mpanda mjini  jana

katika somo la jana (jamatano) lisemalo "UFALME WA UADILIFU UTAKAPOSIMAMISHWA" Wakati mhubir pr. GEOFREY MBWANA akitoa wito watu 9 waliyatoa maisha yao kwa YESU na wako tayari kwa ubatizo. Watu hao waligawiwa vitabu vya TUMAINI KUU na SABATO YA KWELI jumla vitabu 10.






Hakuna maoni:

MPANDA SDA CHURCH