MPANDA: Mahubiri ya Satellite yaliyokuwa yanarushwa na kituo cha televisheni ya kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania
Jumapili, Februari 15, 2015
Alhamisi, Januari 29, 2015
WATU 9 WAYATOA MAISHA YAO KWA YESU KATIKA MAHUBIRI YA SATELLITE
Katika mahubiri haya yanayoendelea ya "THAWABU YA UADILIFU" Tayari Watu 9 Wameyatoa maisha yao kwaYesu katika mahubiri yanayoendelea.Katika mikutano hii inayoendelea katika kanisa la
Jumamosi, Januari 24, 2015
MAHUBIRI YA SATELLITE KUANZA LEO HII JUMAMOSI 14/01/2015
Ule mkutano mkubwa wa mahubiri yatakayorushwa kupitia Televisheni ya kanisa la Waadventista wa Sabato tanzania Morning Star TV sasa kuanza hii leo jumamosi tarehe 24/01/2015 hadi tarehe 14/02/2015 saa 12:30 jioni. Masomo yatakayotolewa ni mafundisho ya ndoa, kaya na familia pamoja na hotuba ya Neno la Mungu mhubiri akiwa ni makamu wa mwenyekiti wa kanisa la Waadventista wa Sabato duniani mchungaji GEOFREY MBWANA. Washiriki wote tuendelee kuuombea mkutano huu.
Chanzo: Pr. Haruni Kikiwa-mkurugenzi wa mawasiliano SHC.
Jumatano, Januari 21, 2015
MKUTANO MKUBWA WA INJILI TANZANIA NZIMA SASA KUANZA 24JANUARY.
Ule mkutano mkubwa wa Injili uliokuwa umepangwa kufanyika Tanzania nzima kuanzia january 11 hadi january 31 kwa njia ya Satellite kupitia televisheni ya kanisa la Waadventista wa Sabato sasa utaanza tarehe 24 january hadi 14 february.
Jumapili, Januari 18, 2015
SIKU KUMI ZA KUFUNGA NA KUOMBA ZAMALIKA KWA KISHINDO KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MPANDA MJINI.
Siku kumi za kufunga na kuomba katika kanisa la Waadventista wa Sabato Mpanda mjini zimemalizika kwa kishindo
Jumamosi, Januari 17, 2015
Jumapili, Januari 04, 2015
MKUTANO MKUBWA WA INJILI
Kanisa la Waadventista wa Sabato nchini linatarajia kufanya mahubiri makubwa kwa njia ya Satellite.
SIKU KUMI ZA KUFUNGA NA KUOMBA
Kanisa la Waadventista wa Sabato ulimwenguni kote litakuwa na siku kumi za kufunga na kuomba. Mfungo huo utaanza jumatano tarehe 07/01/2015.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)