Jumapili, Februari 15, 2015

WATU 13 WAMKIRI YESU KWA NJIA YA UBATIZO KATIKA MAHUBIRI YA SATELLITE KANISA LA MPANDA SDA

MPANDA: Mahubiri ya Satellite yaliyokuwa yanarushwa na kituo cha televisheni ya kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania

Alhamisi, Januari 29, 2015

WATU 9 WAYATOA MAISHA YAO KWA YESU KATIKA MAHUBIRI YA SATELLITE

Katika mahubiri haya yanayoendelea ya "THAWABU YA UADILIFU" Tayari  Watu 9 Wameyatoa maisha yao kwaYesu katika mahubiri yanayoendelea.Katika mikutano hii inayoendelea katika kanisa la

Jumamosi, Januari 24, 2015

MAHUBIRI YA SATELLITE KUANZA LEO HII JUMAMOSI 14/01/2015


Ule mkutano mkubwa wa mahubiri yatakayorushwa kupitia Televisheni ya kanisa la Waadventista wa Sabato tanzania Morning Star TV sasa kuanza hii leo jumamosi tarehe 24/01/2015 hadi tarehe 14/02/2015 saa 12:30 jioni. Masomo yatakayotolewa ni mafundisho ya ndoa, kaya na familia pamoja na hotuba ya Neno la Mungu mhubiri akiwa ni makamu wa mwenyekiti wa kanisa la Waadventista wa Sabato duniani mchungaji GEOFREY MBWANA. Washiriki wote tuendelee kuuombea mkutano huu.

Chanzo: Pr. Haruni Kikiwa-mkurugenzi wa mawasiliano SHC.

Jumatano, Januari 21, 2015

MKUTANO MKUBWA WA INJILI TANZANIA NZIMA SASA KUANZA 24JANUARY.

Ule mkutano mkubwa wa Injili uliokuwa umepangwa kufanyika Tanzania nzima kuanzia january 11 hadi january 31 kwa njia ya Satellite kupitia televisheni ya kanisa la Waadventista wa Sabato sasa utaanza tarehe 24 january hadi 14 february.

Jumapili, Januari 18, 2015

SIKU KUMI ZA KUFUNGA NA KUOMBA ZAMALIKA KWA KISHINDO KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MPANDA MJINI.

Siku kumi za kufunga na kuomba  katika kanisa la Waadventista wa Sabato Mpanda mjini zimemalizika kwa kishindo



Jumamosi, Januari 17, 2015

WAFAHAMU VIONGOZI WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO MPANDA MJINI 2015

Kanisa la Waadventista wa Sabato mpanda mjini liko karibu na zahanati ya Kasimba .

Jumapili, Januari 04, 2015

MKUTANO MKUBWA WA INJILI

Kanisa la Waadventista wa Sabato nchini linatarajia kufanya mahubiri makubwa kwa njia ya Satellite.

SIKU KUMI ZA KUFUNGA NA KUOMBA

Kanisa la Waadventista wa Sabato ulimwenguni kote litakuwa na siku kumi za kufunga na kuomba. Mfungo huo utaanza jumatano tarehe 07/01/2015.

MPANDA SDA CHURCH